Mfano Akitaka kuwa dokta huoni ni lazima akasome masters?Salama
Hili swali nimekuwa nikijiuliza mara kwa mara, eti wakuu kina haja ya muhandisi kusoma masters ? Na je muhandisi mwenye masters kuna reward yoyote ile kama vile kupandishwa cheo kazini ?
Mfano kwenye department yako mko ma injinia watatu na wote mna degree. Baada ya kusoma ukapata master's. Imetokea nafasi say ya uongozi mfano DE, DWE etc na kati yenu huyo mwenye masters ana nafasi kubwa yakupewa hiyo nafasi na ukipata hiyo nafasi ina maana na scale yako itapanda possibly to LSSE kutoka TGS.je akushakuwa dokta kuna reward yoyote ile kazini kama vile kupandishwa mshahara au cheo? Assume huyu si academician