haha
JF-Expert Member
- Apr 21, 2013
- 1,400
- 1,628
Kwanza na declare interest Mimi sio mpenz wa soka kabisaa!!! Mimi ni mfuasi wa live band, old school bolingo, na mzik wa zaman wa hapa Tz.
Ila jamaa zangu wengi na wafuasi wa simba na Yanga.
Jana,26/12 nilikaa mahali nakunywa soda yangu !!!! Ilikuwa mechi ya Yanga vs Biashara FC.
Kiukweli nikishangazwa na malumbano makali sana kati ya washabiki wa Yanga na biashara ambao ni simba !!!wengi walijenga hoja kuwa kuna timu inabebwa na TFF imeshaamua nani awe bingwa!?
Malumbano haya yalianza mwanzon kabisa ya mchezo hasa baada ya kupata goli LA mapemba. Shabiki mmoja wa biashara alisema hilo goli litarudishwa na Yanga itapata penati kweli yakatokea!
Akaenda mbali zaid akawa waonesha ni kwa namna gan refa anapeta faulo wanazofanyiwa biashara lakin wanazofanyiwa Yanga ana take action!!!! Hilo lilizua mabishano makali sana !!!miongoz kwa waliokuwepo!?
Mimi ombi Langu ni kwa ili kukata mzizi wa fitina kwann isiundwe tume ya wataalamu kufuatilia tuhuma hizo!?
Za kubebwa Yanga na Simba!?
Ila jamaa zangu wengi na wafuasi wa simba na Yanga.
Jana,26/12 nilikaa mahali nakunywa soda yangu !!!! Ilikuwa mechi ya Yanga vs Biashara FC.
Kiukweli nikishangazwa na malumbano makali sana kati ya washabiki wa Yanga na biashara ambao ni simba !!!wengi walijenga hoja kuwa kuna timu inabebwa na TFF imeshaamua nani awe bingwa!?
Malumbano haya yalianza mwanzon kabisa ya mchezo hasa baada ya kupata goli LA mapemba. Shabiki mmoja wa biashara alisema hilo goli litarudishwa na Yanga itapata penati kweli yakatokea!
Akaenda mbali zaid akawa waonesha ni kwa namna gan refa anapeta faulo wanazofanyiwa biashara lakin wanazofanyiwa Yanga ana take action!!!! Hilo lilizua mabishano makali sana !!!miongoz kwa waliokuwepo!?
Mimi ombi Langu ni kwa ili kukata mzizi wa fitina kwann isiundwe tume ya wataalamu kufuatilia tuhuma hizo!?
Za kubebwa Yanga na Simba!?