sayoo
JF-Expert Member
- Nov 19, 2014
- 5,272
- 7,870
Huku tukiendelea kufanyia utafiti juice yetu toka madagascar kuna haja ya kuwauliza hawa wanatumia dawa gani ya corona virus maana wagonjwa wao wote wamepona na hakuna kifo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app