marisi schwein
JF-Expert Member
- Dec 3, 2013
- 974
- 2,885
Salaam wanajukwaa! Nimekuwa na wazo hili kwa muda mrefu sana.
Nilibahatika kusoma shule ya vipaji maalum kidato cha tano na sita na hapo nikakutana na wanafunzi 'vipanga' kweli wengine wakaishia kuwa ma TOs(Tanzania Ones).
Wanafunzi hawa ama waliishia kuitwa bungeni kupewa laptops na kupigwa picha na kupewa mkopo wa chuo kikuu( end of story). Hakuna mpango mahsusi wa kuhaness vipaji vyao au kuendeleza vipaji vyao kwa faida ya taifa zaidi ya wengine baadhi yao kubakizwa vyuon kufundisha(so sad).
Ombi langu ni kwanini kusingekuwa na presidential funded au special funded foundation kwa ajil ya kuwatafuta watu wenye akili kubwa(High IQs) toka wakiwa wadogo na kuwaweka kwenye mazingira mazuri wakasomeshwa na serikali kutoka wakiwa wadogo mpaka vyuo vikuu vya kueleweka duniani (Havard, Mist, Oxford, Stamford n.k) kwa utaratib wa kuja kutumikia nchi katika nyanja mbalimbali za kiteknolojia na ubunifu (sio siasa).
Mfuko huu unaweza kuitwa jina la Rais mwanzilishi mfano Magufuli's Special Education Fund au Presidential Education Fund, ambapo kutakuwa kunapitishwa mchujo mkali na watu kupita vijiji na tarafa zote kutafuta watu wenye uwezo mkubwa sana darasani let's say kwa kuwafanyisha mitihani mbalimbali kupima uwezo wao na kuwa recruit kweny mfuko.
Tukiwa na uhakika angalau wa kupat wanafunzi 100 tutakaowapeleka vyuo mbalimbali vya kueleweka duniani baada ya miaka kumi tutakuwa na watu kama 900-1000 ambao watakuwa na manufaa makubwa kwa nchi.
Cc: Pasko, Mag3, Petro E. Mselewa,Salary slip, Zitto, Gentamycin, Anthony Mtaka, Mwigulu Nchemba n.k
Nilibahatika kusoma shule ya vipaji maalum kidato cha tano na sita na hapo nikakutana na wanafunzi 'vipanga' kweli wengine wakaishia kuwa ma TOs(Tanzania Ones).
Wanafunzi hawa ama waliishia kuitwa bungeni kupewa laptops na kupigwa picha na kupewa mkopo wa chuo kikuu( end of story). Hakuna mpango mahsusi wa kuhaness vipaji vyao au kuendeleza vipaji vyao kwa faida ya taifa zaidi ya wengine baadhi yao kubakizwa vyuon kufundisha(so sad).
Ombi langu ni kwanini kusingekuwa na presidential funded au special funded foundation kwa ajil ya kuwatafuta watu wenye akili kubwa(High IQs) toka wakiwa wadogo na kuwaweka kwenye mazingira mazuri wakasomeshwa na serikali kutoka wakiwa wadogo mpaka vyuo vikuu vya kueleweka duniani (Havard, Mist, Oxford, Stamford n.k) kwa utaratib wa kuja kutumikia nchi katika nyanja mbalimbali za kiteknolojia na ubunifu (sio siasa).
Mfuko huu unaweza kuitwa jina la Rais mwanzilishi mfano Magufuli's Special Education Fund au Presidential Education Fund, ambapo kutakuwa kunapitishwa mchujo mkali na watu kupita vijiji na tarafa zote kutafuta watu wenye uwezo mkubwa sana darasani let's say kwa kuwafanyisha mitihani mbalimbali kupima uwezo wao na kuwa recruit kweny mfuko.
Tukiwa na uhakika angalau wa kupat wanafunzi 100 tutakaowapeleka vyuo mbalimbali vya kueleweka duniani baada ya miaka kumi tutakuwa na watu kama 900-1000 ambao watakuwa na manufaa makubwa kwa nchi.
Cc: Pasko, Mag3, Petro E. Mselewa,Salary slip, Zitto, Gentamycin, Anthony Mtaka, Mwigulu Nchemba n.k