Kuna haja ya kuwa na kibali cha TFDA ukitaka kufungua Kibanda cha kukaangia chips?

borncool

JF-Expert Member
Jul 8, 2013
226
49
Wakuu habari, hivi kibanda cha chips ukitaka kukifungua kama unayo leseni ya biashara kuna haja ya kupata kibali TFDA au hiyo leseni na TIN niliyonayo inatosha?

Naomba kuwasilisha na ningeomba ufafanuzi kwa wazoefu.
 
Ingekuwa vyema zaidi ukatafuta kibali Afya ,hicho ndio cha muhimu na lazima pia uambiwe ukapime afya yako !! Hasa kipimo cha ukimwi ww na wahudumu wako

sent from toyota Allex
 
Wakuu habari ,hivi kibanda cha chips ukitaka kukifungua Kama unayo leseni ya biashara Kuna haja ya kupata kibali TFDA au hiyo leseni na TIN niliyonayo inatosha ...naomba kuwasilisha na ningeomba ufafanuzi kwa wazoefu
Acha ujinga fanya kazi.....
 
Ukishaita kibanda unatakiwa uanze kazi maramoja. Lebo yako ni machinga. Piga kazi mkuu. Hata kama utafuatiliwa na hao maafisa unawaomba muda urekebishe tu. Sizani tofauti na bibi afya na bwana afya kuna mengi sana. Kinachoangaliwa ni ukubwa kiasi gani cha biashara yako ndio itakupa kundi unalotakiwa kuwepo. Wengi wenye vibanda hawamjui yeyote zaidi ya bwana/bibi afya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukishaita kibanda unatakiwa uanze kazi maramoja. Lebo yako ni machinga. Piga kazi mkuu. Hata kama utafuatiliwa na hao maafisa unawaomba muda urekebishe tu. Sizani tofauti na bibi afya na bwana afya kuna mengi sana. Kinachoangaliwa ni ukubwa kiasi gani cha biashara yako ndio itakupa kundi unalotakiwa kuwepo. Wengi wenye vibanda hawamjui yeyote zaidi ya bwana/bibi afya.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo sawa mkuu ,kazi isongeshwe tu kumbe
 
Serikali ya Samia ni wakati muafaka sasa kuirudisha TFDA maana TBS imeshindwa kusimamia masuala mazima ya ukaguzi na udhibiti wa ubora wa chakula na vipodozi nchini.

Hivyo kuhatarisha afya za watanzania.

#MaendeleoHayanaChama
 
Back
Top Bottom