mpimamstaafu
JF-Expert Member
- Jul 18, 2018
- 4,445
- 4,704
Wadau wa soka naamini mmeona mgawanyo wa mapato katika Mechi ya Simba na Yanga. Binafsi naiona TFF inavinyonya Vilabu kwani kuna mapato yanaitwa
1.TFF
2.TPLB
3.GHARAMA ZA MECHI
Binafsi naona mapato ya TFF ndio yangegawanya kwa TPLB na Gharama za Mechi. Tukumbuke TFF imeshindwa kuvipatia vilabu Wadhamini kwa hiyo Vilabu vinajiendesha kwa kutumia hayo Mapato, hakika TFF inavinyonya Vilabu ndio maana Migogoro ya kufukuzana haiishi pale TFF.
Tunaiomba Serikali kama inadhamira ya dhati kuviinua vilabu basi TFF ipunguziwe asilimia ya Mapato. Na kama TFF inataka fedha ibuni vyanzo sio kutegemea Mapato pia TFF kuna Fedha inapata kutoka FIFA.
Sent using Jamii Forums mobile app
1.TFF
2.TPLB
3.GHARAMA ZA MECHI
Binafsi naona mapato ya TFF ndio yangegawanya kwa TPLB na Gharama za Mechi. Tukumbuke TFF imeshindwa kuvipatia vilabu Wadhamini kwa hiyo Vilabu vinajiendesha kwa kutumia hayo Mapato, hakika TFF inavinyonya Vilabu ndio maana Migogoro ya kufukuzana haiishi pale TFF.
Tunaiomba Serikali kama inadhamira ya dhati kuviinua vilabu basi TFF ipunguziwe asilimia ya Mapato. Na kama TFF inataka fedha ibuni vyanzo sio kutegemea Mapato pia TFF kuna Fedha inapata kutoka FIFA.
Sent using Jamii Forums mobile app