CHAI CHUNGU
JF-Expert Member
- Feb 20, 2012
- 7,113
- 930
Ndugu watanzania wenzangu na wakazi wote waoishi ndani ya Tanzania(KISIWA CHA AMANI)
Napenda kutoa dukuduku langu kama ifuatavyo.
Wote tunajua kwamba wiki chache nyuma ulitokea mgomo mkubwa wa madaktari nchi nzima,mgomo ambao ulitokana na serikali kupuuza matakwa ya "WANAFANI" hao kwa jeuri na kiburi,naikumbuka moja ya hotuba ya vitisho ya"MTOTO WA MKULIMA"kwamba daktari yeyote atakaye kaidi amri ya serikali ya kusitisha mgomo atakuwa amejifukuzisha kazi.Matokeo yake ni kwamba baada ya muda mfupi mkuu huyu alikula matapishi yake mwenyewe kwa kuwapigia magoti wataalamu hao.
Kama hiyo aitoshi mkuu wa nchi "aka"BABA FULANI"aliteta nao
ameahidi kwamba mgomo umekwisha na hautotokea tena.Sasa swali langu ni jee serikali au madaktari wanawajibika vipi kutokana na maafa makubwa yaliyotokana na mgomo huo???
Jee kuna haja ya kuishitaki serikali kutokana na maafa haya makubwa ya vifo vya wa tz au tuwashitaki madaktari kwa kuvunja na kwenda kinyume na kiapo???
Toeni mchango wa mawazo ili tuweze kuionyesha serikali kwamba tumechoka na manyanyaso.Wao Wamemwaga mboga sasa na sisi tumwage ugali.
Napenda kutoa dukuduku langu kama ifuatavyo.
Wote tunajua kwamba wiki chache nyuma ulitokea mgomo mkubwa wa madaktari nchi nzima,mgomo ambao ulitokana na serikali kupuuza matakwa ya "WANAFANI" hao kwa jeuri na kiburi,naikumbuka moja ya hotuba ya vitisho ya"MTOTO WA MKULIMA"kwamba daktari yeyote atakaye kaidi amri ya serikali ya kusitisha mgomo atakuwa amejifukuzisha kazi.Matokeo yake ni kwamba baada ya muda mfupi mkuu huyu alikula matapishi yake mwenyewe kwa kuwapigia magoti wataalamu hao.
Kama hiyo aitoshi mkuu wa nchi "aka"BABA FULANI"aliteta nao
ameahidi kwamba mgomo umekwisha na hautotokea tena.Sasa swali langu ni jee serikali au madaktari wanawajibika vipi kutokana na maafa makubwa yaliyotokana na mgomo huo???
Jee kuna haja ya kuishitaki serikali kutokana na maafa haya makubwa ya vifo vya wa tz au tuwashitaki madaktari kwa kuvunja na kwenda kinyume na kiapo???
Toeni mchango wa mawazo ili tuweze kuionyesha serikali kwamba tumechoka na manyanyaso.Wao Wamemwaga mboga sasa na sisi tumwage ugali.