Kwa haya yanayoendelea mahakamani na Bungeni, Ni wazi kuna haja ya kufanya maandamano nchi nzima hawa watu wajiuzulu. Tulia na Ibrahim Juma jitafakari Kama mnastahili kuwa katika nafasi hizo na bila kushinikizwa na umma, mtaleta machafuko ya ndani.
Mama alivyoingia ilipendeza angekuja na package yake fullKwa haya yanayoendelea mahakamani na Bungeni, Ni wazi kuna haja ya kufanya maandamano nchi nzima hawa watu wajiuzulu. Tulia na Ibrahim Juma jitafakari Kama mnastahili kuwa katika nafasi hizo na bila kushinikizwa na umma, mtaleta machafuko ya ndani.
Ingia wewe na package yako mkuu.Mama alivyoingia ilipendeza angekuja na package yake full
Baraza la mawaziri
Wabunge
Spika na naibu wake
Jaji mkuu.
Lisu aliwaambia waingie barabarani kuandamana wakachicken, jamaa naye akaamua kusepa. Ogopa sana keyboard warriorsKeyboard warrior at your best.
Hata Mange hana hamu nao.Lisu aliwaambia waingie barabarani kuandamana wakachicken, jamaa naye akaamua kusepa. Ogopa sana keyboard warriors
Acha masihara bro..Kwa haya yanayoendelea mahakamani na Bungeni, Ni wazi kuna haja ya kufanya maandamano nchi nzima hawa watu wajiuzulu. Tulia na Ibrahim Juma jitafakari Kama mnastahili kuwa katika nafasi hizo na bila kushinikizwa na umma, mtaleta machafuko ya ndani.
Majudge wenye elimu ya form 4 they are so hopelessnilikuwa nadhani Judiciary angalau imebaki na kaheshima kidogo. kumbe nao ni hovyo tu. hawa ndio watu Magufuli alipima akili zao akaona hakuna mtu wa kumfanya chochote
JPM jitu mwitu, mziki mnene CD Mia saba! Leta ubishi ule za uso fabaa! Wote tulitulia tuli ...nilikuwa nadhani Judiciary angalau imebaki na kaheshima kidogo. kumbe nao ni hovyo tu. hawa ndio watu Magufuli alipima akili zao akaona hakuna mtu wa kumfanya chochote
Tena huyo ndiyo kabisaaa, aliwapa pesa za organization wanaume wakatia pesa mfukoni na mandamano hayakufanyika!Hata Mange hana hamu nao.
Ni sawa kutoniheshimu mimi, angalau mheshimu mwenyekiti wako basi aliyewakataza kutukana ovyo. Hata mwenyekiti wako humheshimu?Jinga wewe hapo umetype wapi?
Ili iweje?Kwa haya yanayoendelea mahakamani na Bungeni, Ni wazi kuna haja ya kufanya maandamano nchi nzima hawa watu wajiuzulu. Tulia na Ibrahim Juma jitafakari Kama mnastahili kuwa katika nafasi hizo na bila kushinikizwa na umma, mtaleta machafuko ya ndani.