Elice Elly
JF-Expert Member
- Dec 9, 2018
- 1,268
- 1,593
Wadau ile Sala inayo saliwa Bungeni siyo Kumkufuru Mungu?Kwa sala na Matendo yanayo endelea unafikiri Mungu Atabariki Yale yanayo endelea mle ndani au Atalaani?
ati wabariki viongozi wote! yaan hata ******** abarikiwe?Saa Nyingi Inabidi Kuwaza Zaidi Na Zaidi
mataifa mengine wamepeleka wachezaji wao nguli wa zamani ili kuwatia wachezaji hamasa nyie mkapeleka walioshindwa hata mitihani/ wezi wa vyeti mkitegemea kupata ushindi?Mabeberu wamefanikiwa kuhujumu Taifa Stars ikose walau point moja