Washtue jamaa wa chadema pale ufipa.Wadau mnaonaje tukaanza kampeni ya kususia kufanya miamala kwasababu ya gharama kupanda??
Ili iweje? Lengo ni nini, kwa faida ya nani?! Nchi ni yetu, maendeleo ni yetu, Tanzania itajengwa na wa Tanzania wenyewe. Ushauri acha kuhubiri mipango hasi na uchochezi kuwa mzalendo changia maendeleo ya Nchi. Je kufanya miamala kwa Dunia ya leo ni hiali , anasa au "necessity?".Wadau mnaonaje tukaanza kampeni ya kususia kufanya miamala kwasababu ya gharama kupanda??
Haina shida Mussa Azan a.k.a ZunguIli iweje? Lengo ni nini, kwa faida ya nani?! Nchi ni yetu, maendeleo ni yetu, Tanzania itajengwa na wa Tanzania wenyewe. Ushauri acha kuhubiri mipango hasi na uchochezi kuwa mzalendo changia maendeleo ya Nchi. Je kufanya miamala kwa Dunia ya leo ni hiali , anasa au "necessity?".
Acheni mama aupige mwingi mtazoea tu, aendelee kulazimisha tulipe kodi kujazia pale ambapo walipa kodi wakubwa wamekwepa maana anawarembulia macho.Wadau mnaonaje tukaanza kampeni ya kususia kufanya miamala kwasababu ya gharama kupanda?
Imagine umebahatika kuugua UTI umempiga mziga mtu 20000 ununue azuma, genge la wanyang'anyi linachuku 1350 kwenye kutuma tu kwenye kutoa unapigwa ngeta 2810 muamala wa 20,000 kughalimu 4000+ ni dhuluma kubwa mno hapo lazima tutofautishe uzalendo na upimbi,Ili iweje? Lengo ni nini, kwa faida ya nani?! Nchi ni yetu, maendeleo ni yetu, Tanzania itajengwa na wa Tanzania wenyewe. Ushauri acha kuhubiri mipango hasi na uchochezi kuwa mzalendo changia maendeleo ya Nchi. Je kufanya miamala kwa Dunia ya leo ni hiali , anasa au "necessity?".