mazaga one
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 2,463
- 3,932
Kama TFF mnaliona hili na mnahitaji tufudhu mataifa ya Africa basi Kim arudi taifa stars kwa maslai ya taifa,tusije endelea kupoteza muda kwa kujipa matumaini ya kufudhu mataifa ya Africa,,Mrudisheni Kim TFF tunaomba sana,mashabiki tunaumia hatupendi kila siku tuwe watazamaji kwa Uganda wakiwa Afcon,kundi letu ni rahisi sana.Kim arudishwa Stars.