Mohamed Abubakar
JF-Expert Member
- Jun 26, 2014
- 544
- 682
Mahakama imechukua hatua za makusudi kwa kutosikiliza kesi ambazo ushahidi wake haujakamilika, na kesi ambazo ushahidi wake umekamilika mahakama zitaendesha mashauri nayo kwa njia ya teleconference.
Hata hivyo kuna watumuhumiwa waliokaa rumande zaidi ya miaka nane ambapo ushahidi wa kesi zao haujakamilika na upelelezi hauendelei.
Watu hao wapo wengi mahabusu wakiwemo viongozi wa dini Uamsho.
Serikali inapaswa kuona huruma japo kidogo, watanzania hawana furaha kwa sheria hizi kandamizi; na ikitokea mashekhe hawa (Mungu apishe Mbali) kusikia kuwa viongozi hawa wamekufa kwa corona au sababu ingine yyt ile?
CCM itazidi kujipotezea haiba kwa jamii. Na ni maiti pekee ndizo zitakazoweza kukipigia kura kwenye changuzi unaofata. Wananchi na waumini tumechoshwa na mateso haya kwa mashekhe
Ni utoe ushauri wa bure...... Na ombi, mkijisia....
Mh JPM alitoa ushauri kwa DPP hivi karibuni na kwa mamlaka aliyonayo atoe misamaha kwa mahabusu na kuwafutia mashitaka. Ushauri huu wa Mh JPM ulikuwa nandhamira njema wa kupunguza mlundikano wa mahabusu magereza.
Basi nimkumbuse DPP kuwa atumie burasa alizojaaliwa na Mungu kuwaachia huru wote ambao jamii (public opinion) inaona watumumiwa hawajatendewa haki kwa kukaa kifungoni kwa kipindi chote hiki iwaachie huru.
If CCM inaamini itaweza kushinda uchaguzi ujao bila kuwategemea waumini wenza wa mashekhe hawa basi ushauri huu wanaweza kuuzarau.
Hata hivyo kuna watumuhumiwa waliokaa rumande zaidi ya miaka nane ambapo ushahidi wa kesi zao haujakamilika na upelelezi hauendelei.
Watu hao wapo wengi mahabusu wakiwemo viongozi wa dini Uamsho.
Serikali inapaswa kuona huruma japo kidogo, watanzania hawana furaha kwa sheria hizi kandamizi; na ikitokea mashekhe hawa (Mungu apishe Mbali) kusikia kuwa viongozi hawa wamekufa kwa corona au sababu ingine yyt ile?
CCM itazidi kujipotezea haiba kwa jamii. Na ni maiti pekee ndizo zitakazoweza kukipigia kura kwenye changuzi unaofata. Wananchi na waumini tumechoshwa na mateso haya kwa mashekhe
Ni utoe ushauri wa bure...... Na ombi, mkijisia....
Mh JPM alitoa ushauri kwa DPP hivi karibuni na kwa mamlaka aliyonayo atoe misamaha kwa mahabusu na kuwafutia mashitaka. Ushauri huu wa Mh JPM ulikuwa nandhamira njema wa kupunguza mlundikano wa mahabusu magereza.
Basi nimkumbuse DPP kuwa atumie burasa alizojaaliwa na Mungu kuwaachia huru wote ambao jamii (public opinion) inaona watumumiwa hawajatendewa haki kwa kukaa kifungoni kwa kipindi chote hiki iwaachie huru.
If CCM inaamini itaweza kushinda uchaguzi ujao bila kuwategemea waumini wenza wa mashekhe hawa basi ushauri huu wanaweza kuuzarau.