chief1
JF-Expert Member
- May 4, 2015
- 1,396
- 1,337
Babu zetu wamepigania uhuru na wakafanikiwa kumtoa mzungu katika bara letu pedwa la Africa, wakajitahidi kutusogeza kimaendeleo kulingana na uwezo wao uliotukuka, watu kama kina Kwame Nkrumah, Nelson Mandela, Julius Nyerere, Patrice Lumumba na wengine wengi, lakini ningepata nafasi ya kukutana na mmoja wao ningemuuliza swali moja tu,swali hilo ni
"Je wakati mnadai uhuru wa Africa mliwaandaa vizuri waafrica kiakili, kifkra,kimwili na ki elimu kujitawala wenyewe "?
Kwa mtazamo wangu kwa jinsi hali ilivyo kwa sasa hapa Africa naona kama hatukujiandaa vizuri kujitawala wenyewe, kuna kitu tulikikosa na bado tunakikosa,hivyo bado hatuwezi kujitawala wenyewe, na hicho kitu tulichokikosa ni "upendo "
Wazungu hawakutufundisha upendo,labda walikuwa wabinafsi au waliuharibu upendo wetu, au walituacha maana tuling'ang'ania uhuru kabla ya wakati, afadhali SA hawakuondoka mapema, angalia jinsi palivyo!
Haishangazi kuona yanayotokea Africa, yote ni kwa sababu hatukujiandaa,
Simshangai Kabila, simshangai Nkrunzinza, simshangai museveni, simshangai Yahya Jameh, siwashangai waafrica wote ,hatukuwekeza kwenye upendo tangu mwanzo, hutukujiandaa..
Swali ni je, kuna haja ya waafrica kuendelea kujitawala wenyewe?
Ilhali hawakujiandaa?
"Je wakati mnadai uhuru wa Africa mliwaandaa vizuri waafrica kiakili, kifkra,kimwili na ki elimu kujitawala wenyewe "?
Kwa mtazamo wangu kwa jinsi hali ilivyo kwa sasa hapa Africa naona kama hatukujiandaa vizuri kujitawala wenyewe, kuna kitu tulikikosa na bado tunakikosa,hivyo bado hatuwezi kujitawala wenyewe, na hicho kitu tulichokikosa ni "upendo "
Wazungu hawakutufundisha upendo,labda walikuwa wabinafsi au waliuharibu upendo wetu, au walituacha maana tuling'ang'ania uhuru kabla ya wakati, afadhali SA hawakuondoka mapema, angalia jinsi palivyo!
Haishangazi kuona yanayotokea Africa, yote ni kwa sababu hatukujiandaa,
Simshangai Kabila, simshangai Nkrunzinza, simshangai museveni, simshangai Yahya Jameh, siwashangai waafrica wote ,hatukuwekeza kwenye upendo tangu mwanzo, hutukujiandaa..
Swali ni je, kuna haja ya waafrica kuendelea kujitawala wenyewe?
Ilhali hawakujiandaa?