Mkulungwa01
JF-Expert Member
- Jul 14, 2021
- 3,979
- 5,295
Mbali na hili, pia uhuru wanaopewa wake za Marais upunguzwe, ni HATARI.
Kama mjuavyo, wanawake wengi siku hizi wameshajua kuwa kujitetea na mwanaume anayempiga, hata kama kakosea yeye mwanamke, basi ni kubana korodani.
Sehemu hii ni nyeti na haitaki bughudha, hebu chukulia mkuu wa nchi kakorofishana na first lady halafu akabanwa huko si atakufa?
Na akifa si itakuwa tayari kapinduliwa na mkewe? Tayari bendera nusu mlingoti. Hivyo basi, hili liangaliwe kwa umakini mno, mbali na mke, pia makahaba wanaweza kutumwa na kutumia njia hii kuwaua wakuu wa nchi, na ukizingatia wengi huwa wazee na nguvu hupungua.
Hayo ni mawazo yangu tu!!!!
Kama mjuavyo, wanawake wengi siku hizi wameshajua kuwa kujitetea na mwanaume anayempiga, hata kama kakosea yeye mwanamke, basi ni kubana korodani.
Sehemu hii ni nyeti na haitaki bughudha, hebu chukulia mkuu wa nchi kakorofishana na first lady halafu akabanwa huko si atakufa?
Na akifa si itakuwa tayari kapinduliwa na mkewe? Tayari bendera nusu mlingoti. Hivyo basi, hili liangaliwe kwa umakini mno, mbali na mke, pia makahaba wanaweza kutumwa na kutumia njia hii kuwaua wakuu wa nchi, na ukizingatia wengi huwa wazee na nguvu hupungua.
Hayo ni mawazo yangu tu!!!!