WanaJF. Mimi napendekeza kuwepo na jukwaa la mazingira,ili mada zote zinazohusu masuala ya mazingira na maliasili za TZ na dunia kwa ujumla ziweze kuletwa na kujadiliwa. Naomba kuwasilisha.
Ni wazo zuri sana Lakini napendekeza mambo 2
1.Kwanza tukianza kila issue kutengenzewa jukwaa lake JF itakosa radha fulani,
2.Hata mimi napendekeza jukwaa la raslimali za taifa
QUOTE=Mathias Byabato;Ni wazo zuri sana Lakini napendekeza mambo 2
1.Kwanza tukianza kila issue kutengenzewa jukwaa lake JF itakosa radha fulani,
2.Hata mimi napendekeza jukwaa la raslimali za taifa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.