Mrembo
JF-Expert Member
- Oct 9, 2008
- 414
- 210
Heshima kwenu wakuu,
mimi nimekuwa nikifuatilia bunge hili la budget kwa makini sana. nimegundua wabunge karibu wote wa CCM wanaunga mkono Budget kwa 100%. alafu kwenye kuchangia wanalalamika budget haijataja mambo fulanifulani (miundombinu, utalii etc) majimboni mwao. Je huu si unafiki? sasa kuna haja gani ya kuunga mkono 100% wakani kuna reservations, yaani inaonekana ili bunge linaendeshwa kwa ushabiki Tu.
naomba kuwakilisha.
mimi nimekuwa nikifuatilia bunge hili la budget kwa makini sana. nimegundua wabunge karibu wote wa CCM wanaunga mkono Budget kwa 100%. alafu kwenye kuchangia wanalalamika budget haijataja mambo fulanifulani (miundombinu, utalii etc) majimboni mwao. Je huu si unafiki? sasa kuna haja gani ya kuunga mkono 100% wakani kuna reservations, yaani inaonekana ili bunge linaendeshwa kwa ushabiki Tu.
naomba kuwakilisha.