Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,230
- 6,469
- Thread starter
- #21
Hilo nalijua ila shule za aina hii ni chache Sana.Hujui kama idadi ya wanafunzi imeongezeka mara dufu hadi shule zingine zimeelemewa kupokea wanafunzi?
Hilo nalijua ila shule za aina hii ni chache Sana.Hujui kama idadi ya wanafunzi imeongezeka mara dufu hadi shule zingine zimeelemewa kupokea wanafunzi?
Dishi langu lina tabia ya kuyumba hasa kipindi cha mvua. Hivi huu mkakati wa kuboresha watoto wa kike wa kiume wanaachwa utakoma lini?. Hivi kiki kizazi cha kiume tunakipeleka wapi? Ki ukweli huwa naumia sana.Ni bora wangejenga VETA, shida mkopeshaji kaweka masharti ziboreshe elimu ya secondary hasa kwa watoto wa kike. Sasa kwanini wasijenge mabwei au hostels kwa shule za kata ili kuwapunguzia mimba na kushindwa kuhitimu?
Lengo na chimbuko la Mkopo huu ni kitendo cha Rais Magufuli kuzuia wanafunzi wenye mimba kuendelea na masomo, vinginevyo usingetolewa.Dishi langu lina tabia ya kuyumba hasa kipindi cha mvua. Hivi huu mkakati wa kuboresha watoto wa kike wa kiume wanaachwa utakoma lini?. Hivi kiki kizazi cha kiume tunakipeleka wapi? Ki ukweli huwa naumia sana.
Exactly!!!!!!Alitakiwa aboreshe hizi za Sasa?
Hivi shift ni mfumo gani?Exactly!!!!!!
Wanaweza;
1. Kuboresha za sasa
2. Kupitia upya system ya utoaji wa elimu inavufanyika sasa hivi....
Ni wakati wa serikali kuwekeza katika VYUO BORA VYA ELIMU YA KATI VYA UFUNDI katika kila wilaya. Watoto/vijana wa kitanzania walio wengi wanakosa haki yao ya msingi ya kupata ELIMU/UJUZI/MAARIFA mbalbali kwa ETI kinachoitwa wamefeli kwenda sekondari.Mada hapo juu yaeleweka.
Serikali ya awamu hii imeibua mradi mwingine wa Matrilioni wa ujenzi wa secondary mpya zaidi ya 1056. Katika shule hizi 26 zitakuwa za bweni huku kila mkoa Tanzania bara ikipata shule moja ktk hizo 26. Hapo naipongeza serikali kwa hilo la shule 26...
SawasawaNi wakati wa serikali kuwekeza katika VYUO BORA VYA ELIMU YA KATI VYA UFUNDI katika kila wilaya. Watoto/vijana wa kitanzania walio wengi wanakosa haki yao ya msingi ya kupata ELIMU/UJUZI/MAARIFA mbalbali kwa ETI kinachoitwa wamefeli kwenda sekondari.
Huko sekondari wanakwenda kufanya nini??? Lazima tufikiri upya na tubadilike kwa kuzingatia mahitaji ya jamii kulingana na wakati tulio nao.
Hapa ninaishi kwenye shule moja maaruf ukarabati umeishia njiani. Pesa hakunaHizo shule 1056 zitakuwa za kisasa full package Zina kila kitu,acha kukariri maisha
So sad.Mada hapo juu yaeleweka.
Serikali ya awamu hii imeibua mradi mwingine wa Matrilioni wa ujenzi wa secondary mpya zaidi ya 1056. Katika shule hizi 26 zitakuwa za bweni huku kila mkoa Tanzania bara ikipata shule moja ktk hizo 26. Hapo naipongeza serikali kwa hilo la shule 26...
Huu ushauri ungewafikia, ingependeza sana.Exactly!!!!!!
Wanaweza;
1. Kuboresha za sasa....
Umewafikia bila shakaHuu ushauri ungewafikia, ingependeza sana.