The Stress Challengerr
JF-Expert Member
- Jan 18, 2020
- 2,478
- 6,764
Inakuwaje wanajamvi!
Hamna haja ya kuchimba tena madini yetu bora yabakie tu ardhini.
Inasikitisha sana hayana hata msaada kwetu. Yani yanatuletea tu asilimia 4% kwenye uchumi wetu.
Inasikitisha sana. Na siyo Tanzania tu Africa yote. Sisi waafrika tumelaaniwa. Kuna haja gani ya kuyachimba?
Hamna haja ya kuchimba tena madini yetu bora yabakie tu ardhini.
Inasikitisha sana hayana hata msaada kwetu. Yani yanatuletea tu asilimia 4% kwenye uchumi wetu.
Inasikitisha sana. Na siyo Tanzania tu Africa yote. Sisi waafrika tumelaaniwa. Kuna haja gani ya kuyachimba?