wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 24,688
- 26,796
Hukumu ya kunyongwa hadi kufa inapotolewa na mahakama kwa mshakiwa kama mnavyojua kwa mujibu ya sheria Rais anatakiwa kusaini ili hukumu ya kunyonga itimie ,je!kama mahakam hiyo inatoa hukumu alafu mhusika wa mwisho anakataa sasa kuna haja gani ya mahakama kutoa hukumu hiyo ya kunyongwa,kama ni hivyo ni bora katiba kifungu cha kunyongwa hadi kufa kwa mshtakiwa anapokutwa na kosa hilo kifutwe kutafutwe sheria nyingine ya hukumu inayoendana na kosa.