davejillaonecka
JF-Expert Member
- Oct 17, 2018
- 650
- 650
Kuna haja gani kuleta nguzo mpya za umeme za zege katika eneo lenya mgogoro wa ardhi takribani miaka 23 baina ya uwanja wa ndege (JNIA) na wakazi wa kipunguni (DSM).
Je, Tanesco Hawaoni watapata hasara endapo wataanza kubomoa?
Naomba kueleweshwa, na kuelimishwa.
Asante.
Je, Tanesco Hawaoni watapata hasara endapo wataanza kubomoa?
Naomba kueleweshwa, na kuelimishwa.
Asante.