🤣🤣🏃🏃🏃Spacio kuna siku nimeiegemea ukawa ugomvi na mwenye nayo ikabondeka
Mafuta -suzukiDuuu! Sawa haya kati ya hizo mbili rav4 na hiyo suzuki hasa katika swala la mafuta na spare maana kuhusu uimara sina shaka nazo zote kwa mujibu wa michango hii michache.
Kwa maana ya gharama nakubaliana ila uzamani hata rav 4 model hio ya masawe ni ya zaman piaHapo chukua Rav 4, hizo Suzuki escudo ni ngumu kweli ila spear zake no ghari kidogo pia upatikanaji wa spear zake ni shida kidogo maana hizo gari ni za zamani Sana ndio zinaphaze out
Au escudo latestAchaneni na magari yenye miaka 25.go for jimmy kama unaweza.
Mwqka bado ni kipindi kifupi sana kwa kutoa recommendations kuwa gari ni zuri au si zuri..Mimi ninayo rav 4 old model, ni nzuri sana hasa kwa barabara rough road, kwanza haina tabia za kusumbuasumbua pia spea zake ni chiep Sana. Ninayo mwaka Sasa kazi yangu ni service na mafuta tu. Hizi gari zina cc 1990 so ulaji wa mafuta uko juu kidogo ukilinganisha na hizo escudo na spacio
Mzee nipe pia ushauri wako kati ya hizo tatu spacio new, suziki old na Rav4 old kikubwa ni running cost ziwe rafiki kwa mazingira ya mkoani , huwa naona michango yako humu naona uko vizuri kwenye haya mamboMwqka bado ni kipindi kifupi sana kwa kutoa recommendations kuwa gari ni zuri au si zuri..
Ni kawaida sana kuendesha gari mwaka bila kubadilisha spea zaidi ya service za oil na matairi tu.
Kwa mkoani chukua RAV4 kwa sababu huko spea za Suzuki ni mtihani!Mzee nipe pia ushauri wako kati ya hizo tatu spacio new, suziki old na Rav4 old kikubwa ni running cost ziwe rafiki kwa mazingira ya mkoani , huwa naona michango yako humu naona uko vizuri kwenye haya mambo
Kuna siku nilienda milimani huko upareni. Tukakodi Escudo maana gari tulizokuja nazo sio rafiki sana na mazingira ya kijijini.Sijawai kusikia Suzuki Escudo ina kesi za ajabuajabu kama izo gari zingine ulizozitaja.
Kuna msemo usemao "alitumia Babu hadi mjukuu" hii kauli inaihusu Suzuki Escudo.
Piga shimo uwezavyo wala habari haina ndo kwanza nati na bolt zinajikaza zaidi
Toeni ushauri inahitajika moja kati ya hizo hasa ubora/ugumu, utumiajiwa mafuta, kuhimili mikiki yeyote kwa jamii zetu za kiafrica
hapa kweli.. rav4 ikifika civiljoint jiandae mategeMafuta -suzuki
Uimara-suzuki
Offroads -suzuki hii ngoma ina difu mbili sio civiljoint ka rav 4
Kuna siku nilienda milimani huko upareni. Tukakodi Escudo maana gari tulizokuja nazo sio rafiki sana na mazingira ya kijijini.
Tangu siku hiyo hii gari naipa salute. Ni chuma hasa
Daah! Alafu upate kitu manual gearbox. Unapanda mlima kama unashuka vile
Mambo ya manual forget about it.Tunakoelekea gari zitakuwa full computerized and full automatic na mafundi washauri waende vyuo pia kwa sababu watapata taabu sana.Mkoloni manual hana muda mrefu tena sokoni.Technologia inakua in exponential form!Daah! Alafu upate kitu manual gearbox. Unapanda mlima kama unashuka vile