Duuu! Sawa haya kati ya hizo mbili rav4 na hiyo suzuki hasa katika swala la mafuta na spare maana kuhusu uimara sina shaka nazo zote kwa mujibu wa michango hii michache.Spacio ni takataka unaiichanganyaje na izo mashine. Sijui kwanini umeiweka na hivyo vyuma.
NduguuuKwanza kabisa hiyo Spacio itoe kabisa hapo kwenye list kwa sababu huwezi kulinganisha Spacio na vyuma.Halafu hapo go for Suzuki Escudo.
Ndugu wa magari ya kizungu unamshauri nini jamaa yetu?Nduguuu
Spacio kuna siku nimeiegemea ukawa ugomvi na mwenye nayo ikabondekaNdugu wa magari ya kizungu unamshauri nini jamaa yetu?
Vitz vpToeni ushauri inahitajika moja kati ya hizo hasa ubora/ugumu, utumiajiwa mafuta, kuhimili mikiki yeyote kwa jamii zetu za kiafrica
Duuu! Sawa haya kati ya hizo mbili rav4 na hiyo suzuki hasa katika swala la mafuta na spare maana kuhusu uimara sina shaka nazo zote kwa mujibu wa michango hii michache.
Hapo chukua Rav 4, hizo Suzuki escudo ni ngumu kweli ila spear zake no ghari kidogo pia upatikanaji wa spear zake ni shida kidogo maana hizo gari ni za zamani Sana ndio zinaphaze outToeni ushauri inahitajika moja kati ya hizo hasa ubora/ugumu, utumiajiwa mafuta, kuhimili mikiki yeyote kwa jamii zetu za kiafrica
Vipi uzoefu wako katika swala la mafuta maana ninataka hii gari nimpelekee mama mzaziHapo chukua Rav 4, hizo Suzuki escudo ni ngumu kweli ila spear zake no ghari kidogo pia upatikanaji wa spear zake ni shida kidogo maana hizo gari ni za zamani Sana ndio zinaphaze out
Mimi ninayo rav 4 old model, ni nzuri sana hasa kwa barabara rough road, kwanza haina tabia za kusumbuasumbua pia spea zake ni chiep Sana. Ninayo mwaka Sasa kazi yangu ni service na mafuta tu. Hizi gari zina cc 1990 so ulaji wa mafuta uko juu kidogo ukilinganisha na hizo escudo na spacioVipi uzoefu wako katika swala la mafuta maana ninataka hii gari nimpelekee mama mzazi
Mwanzo nliwaza nimbebee ya kisasa ndo nikaona labda spacio lakini kwa maelezo ya ndugu hapa, spacio nimeiondoa kabisaa pamoja na kwamba nilikuwa naiamini pia
Sasa machaguo yamebaki Rav 4 na suzuki lakini pia naona suzuki imeingia tena dosari sasa naona imebaki Rav4 , naona sasa nianze kui speculate hiyo nijue running cost zake na hasa mafuta tukihusianisha na na hizo zilizo baki