bryan2 JF-Expert Member Jun 8, 2016 3,323 4,667 Dec 22, 2016 #1 Tokea 1995 uchaguzi wa Vyama vingi ufanyike kwa mara ya kwanza nchini na Tangu mfumo wa vyama vingi kuzaliwa. Je kuna Faida yoyote Nchi imepata au ni bora tungebaki kwenye mfumo wa Chama kimoja?
Tokea 1995 uchaguzi wa Vyama vingi ufanyike kwa mara ya kwanza nchini na Tangu mfumo wa vyama vingi kuzaliwa. Je kuna Faida yoyote Nchi imepata au ni bora tungebaki kwenye mfumo wa Chama kimoja?
Rweye JF-Expert Member Mar 16, 2011 16,958 7,512 Dec 22, 2016 #2 Ipo moja ninayoiona, imekuwa chanzo kikuu cha ajira na kutengeneza waongeaji wengi.