Kuna faida gani kuwapa majina watoto yanayoanza na herufi zinazofanana?

Ketoka

JF-Expert Member
Sep 23, 2015
1,087
1,913
Kuna mtindo wa kuwapa majina watoto kwa kuanza na herufi zinazofanana ,je huu mtindo una faida au hasara au uzungu?

Unakuta mzazi anawaita majina mtoto wa kwanza hadi wa mwisho herufi inayoanza ni D,au E au B

Hasara ni kwamba majina hayazingatii chimbuko lake wala utamaduni wa jamii yake

Kuna miaka itakuja ambapo watu kwenye shule,mtaa ,kijiji,taasisi nzima majina yote matatu yatakuwa yanafanana na mtu atakuwa anashindwa kutofautisha watu

Hawa watoto unawapa majina yanayoendana kierufi na watoto wao pia watafanya hivyo

Hali hii inafanya majina ya kiafrika yanapotea kwa kasi,kwa nini hatuzingatii asili wakati tunaita majina watoto wetu?

Kwa sababu tunazaa kuendeleza kizazi cha jamii zetu pia tuwape majina sambamba na asili zetu za kiafrika

Na serikali ingilia kati suala hili,mnapoandikisha vyeti vya watoto majina yawemo na ya asili na ipige marufuku hii formula ya majina kwa watoto ,inarithisha watoto ujinga
 
Kuna mtindo wa kuwapa majina watoto kwa kuanza na herufi zinazofanana ,je huu mtindo una faida au hasara au uzungu?

Unakuta mzazi anawaita majina mtoto wa kwanza hadi wa mwisho herufi inayoanza ni D,au E au B

Hasara ni kwamba majina hayazingatii chimbuko lake wala utamaduni wa jamii yake

Kuna miaka itakuja ambapo watu kwenye shule,mtaa ,kijiji,taasisi nzima majina yote matatu yatakuwa yanafanana na mtu atakuwa anashindwa kutofautisha watu

Hawa watoto unawapa majina yanayoendana kierufi na watoto wao pia watafanya hivyo

Hali hii inafanya majina ya kiafrika yanapotea kwa kasi,kwa nini hatuzingatii asili wakati tunaita majina watoto wetu?

Kwa sababu tunazaa kuendeleza kizazi cha jamii zetu pia tuwape majina sambamba na asili zetu za kiafrika

Na serikali ingilia kati suala hili,mnapoandikisha vyeti vya watoto majina yawemo na ya asili na ipige marufuku hii formula ya majina kwa watoto ,inarithisha watoto ujinga
MAGACHA, MAGAFU MASIKA
 
Hakuna faida yoyote kuhusu kufananisha herufi za mwanzo za majina ya watoto.
Kwa upande wa wanafunzi kufananisha jina la kwanza hadi la ubini ni suala la muda tu maana RITA/Serikali imekosa maarifa katika kusajili watoto wanaozaliwa. Haitaki tena majina ya ukoo japo hili haliko moja kwa moja.
Chukulia mfano mimi naitwa MAXIMO LAURIAN MAHUSHI nikazaa mtoto nikamuita MAHUSHI (Jina la ukoo), JOSEPH (Jina la ubatizo) na MAXIMO kama jina la baba hivyo huyu mtoto angeitwa JOSEPH MAHUSHI MAXIMO kwa utashi wa mzazi ila RITA au Serikali wanalazimisha aitwe JOSEPH MAXIMO LAURIAN kwa madai kwamba baba yake ni MAXIMO LAURIAN.
Kitu hiki ndio kimeshaanza kutupotezea majina yetu ya asili kama Waafrika. Majina kama Joseph Emmanuel John, Mohamed Rajab Ramadhan yanatawala Tz.
Ukienda nchi kama Rwanda na Congo DRC wako njema kwa upande wa majina ya asili
 
Na serikali ingilia kati suala hili,mnapoandikisha vyeti vya watoto majina yawemo na ya asili na ipige marufuku hii formula ya majina kwa watoto ,inarithisha watoto ujinga
Yan serikal iache kushughulika na mambo ya msingi iingilie maisha binafsi ya mtu tena alioyachagua mwenye

Upo serious kabisa mkuu

Swala la majina kwa watoto ni swala binafsi kila mtu ana uhuru wa kumpa mtoto wake jina analoona ni sahihi acha kupangia watu.
 
Kuna mtindo wa kuwapa majina watoto kwa kuanza na herufi zinazofanana ,je huu mtindo una faida au hasara au uzungu?

Unakuta mzazi anawaita majina mtoto wa kwanza hadi wa mwisho herufi inayoanza ni D,au E au B

Hasara ni kwamba majina hayazingatii chimbuko lake wala utamaduni wa jamii yake

Kuna miaka itakuja ambapo watu kwenye shule,mtaa ,kijiji,taasisi nzima majina yote matatu yatakuwa yanafanana na mtu atakuwa anashindwa kutofautisha watu

Hawa watoto unawapa majina yanayoendana kierufi na watoto wao pia watafanya hivyo

Hali hii inafanya majina ya kiafrika yanapotea kwa kasi,kwa nini hatuzingatii asili wakati tunaita majina watoto wetu?

Kwa sababu tunazaa kuendeleza kizazi cha jamii zetu pia tuwape majina sambamba na asili zetu za kiafrika

Na serikali ingilia kati suala hili,mnapoandikisha vyeti vya watoto majina yawemo na ya asili na ipige marufuku hii formula ya majina kwa watoto ,inarithisha watoto ujinga
FAIDA MOJAWAPO KUBWA KABISA YA KUWAPA WATOTO MAJINA YENYE HERUFI ZILIZOFANANA NI KWAMBA UNAKUWA KWA KIASI KIKUBWA SANA UMEWAUNGANISHA KIROHO. ASSUMING WEWE NI MCHA MUNGU NA UNAMPENDA SANA MUNGU, KAZI YAKO KUBWA ITAKUWA KWA MTOTO YULE WA KWANZA TU, HALAFU HAWA WENGINE WOTE WANAOFUATA, WATAFUATA DISCIPLINE YA MTOTO YULE WA KWANZA.
HATA HIVYO USIPOKUWA MCHA MUNGU, THE CHANCES NI KWMBA UNAKUWA UMETENGENEZA UWEZEKANO MKUBWA KABISA WA KUWAHARIBU WOTE KWA MPIGO MMOJA TU. MAJINA YA AINA HII NI MAZURI TU KWA WATOTO AMBAO WAZAZI WAO WANA KICHO CHA MUNGU, NA ESPECIALLY PALE YANAPOKUWA YAMEAMBATANISHWA NA MAJINA YA UKOO PIA. UNAPOWAPA WATOTO MAJINA KWA MTINDO HUU, NI MUHIMU SANA KUHAKIKISHA KUWA KILA MTOTO UMEMPA JINA LA UKOO PIA.
WATOTO WOTE WENYE MAJINA YA AINA HII WABARIKIWE SANA NA BWANA
MUBARIKIWE TENA NA BWANA
 
Siku zote vp hupangiliwa vzr na huw na muonekano vikiwa vinaendan

Mfano rangi hupakwa zinazoendn

Uvaaji huendan na rangi

Nazn tuu hata majin ndan ya familia yakiend yanaleta mfanano mzuri

Sent from my vivo 2015 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom