Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wana JF, naomba msaada, hivi kuna dawa ya kupunguza usingizi? Kuna ndugu yangu yeye ikifika saa moja jioni tu basi hawezi kujizuia! Atalala mpaka asubuhi na hapo usiku katikati wala hastuki! Nimsaidieje?
Msaada mkubwa ni kumshauri alale pema na salama ikiwezekena awahi kulala kabla ya saa moja! pia kama wa kiume asioe na kama wa kike asiolewe maana ndoa itamnyima usingizi alafu wewe umesahahu kwamba
"aliyelala usimwamshe???" ugonjwaunaambukiza huo maana huyu niliyenae hapati usingizi wangu ni wa kiume wako je?????
Msaada mkubwa ni kumshauri alale pema na salama ikiwezekena awahi kulala kabla ya saa moja! pia kama wa kiume asioe na kama wa kike asiolewe maana ndoa itamnyima usingizi alafu wewe umesahahu kwamba
"aliyelala usimwamshe???" ugonjwaunaambukiza huo maana huyu niliyenae hapati usingizi wangu ni wa kiume wako je?????
Sometimes it is better not to have a friend at all.
Coz if you have one, he i/she is gonna advise you like FN!
SHAME ON YOU!
Were it me, i would keep silent...absolutely!..huh!
njia nyingine ni kumpa pesa ukiona hivyo hana pesa
huyo siunajua hata biblia imesema pesa ndio majibu ya yote??? waulize wenye pesa kama wanalala note;sio vijisenti ni majinoti
Msaada mkubwa ni kumshauri alale pema na salama ikiwezekena awahi kulala kabla ya saa moja! pia kama wa kiume asioe na kama wa kike asiolewe maana ndoa itamnyima usingizi alafu wewe umesahahu kwamba
"aliyelala usimwamshe???" ugonjwaunaambukiza huo maana huyu niliyenae hapati usingizi wangu ni wa kiume wako je?????
huundio msaada wako?
ikifika saa moja jioni tu basi hawezi kujizuia! Atalala mpaka asubuhi na hapo usiku katikati wala hastuki!
Msaada mkubwa ni kumshauri alale pema na salama ikiwezekena awahi kulala kabla ya saa moja! pia kama wa kiume asioe na kama wa kike asiolewe maana ndoa itamnyima usingizi alafu wewe umesahahu kwamba
"aliyelala usimwamshe???" ugonjwaunaambukiza huo maana huyu niliyenae hapati usingizi wangu ni wa kiume wako je?????
sasa kuna uhusiano gani katika kulala na kuolewa? kwani wanandoa hawalali?
thanks, i'll tell the guyKunywa coffee mida ya jioni inasaidia,hata mie mwenyewe zamani nilikuwa na tatizo la kulala mapema kama ndugu yako. Lakini baada ya kupendelea kunywa coffee tatizo likatoweka kabisaaa!!!
Hivi sasa cha ajabu nimekuwa sina usingizi kabisaaaa, sometimes hadi najilazimisha kulala.