Kima mdogo
JF-Expert Member
- Sep 17, 2011
- 303
- 46
kweli aiseeDuh, mtoto kama wa ukweli sana hakuna haja ya dawa ya penzi. Kwanza hawanaga ukimwi...
kweli aiseeDuh, mtoto kama wa ukweli sana hakuna haja ya dawa ya penzi. Kwanza hawanaga ukimwi...
kweli aisee
three wachache, labda iwe communitysome.
Hata kama wana Ukimwi Mzee Zuma aliwahi kushauri kwamba, ukipiga tu, fasta unaenda kunawa..........Hupati Ukimwi wala nini..........Duh, mtoto kama wa ukweli sana hakuna haja ya dawa ya penzi. Kwanza hawanaga ukimwi...
Hata kama wana Ukimwi Mzee Zuma aliwahi kushauri kwamba, ukipiga tu, fasta unaenda kunawa..........Hupati Ukimwi wala nini..........
Lakini kwa kweli leo, nimepambana na IBILISI Live..............hapa ni mwendo wa kukemea tu..... naomba mnisaidie maombi tu jamani..................
Nimefika Zanzibar jioni hii, nipo huku kwa kazi maalum ambapo nimeungana na Binti wa Kizulu ambaye ni mfanyakazi mwenzangu kutoka makao makuu ya kampuni yetu nchini Afrika Kusini.........!
Usiku huu tunapata Dinner lakini hiyo mikao yake na kivazi alichovaa.................Mweh!
We jipigie tu bana,nani atajua?
BADILI TABIA unamaanisha MKUYATI.....?
hahahaa akija yeye nae atakuwa anatoka kupewa cha usiku ...lolMtambuzi Mkuu, umejitayarisha vipi Cantalisia akiingia hapa?
Ninakuhurumia!
Hivi pete ya ndoa nayo inazuia watu wasijiingize katika usaliti kwa ndoa zao ati. Hahahahahah
Lol acha kumchuza mwenzio.....nenda kamsaidie basi