Uchaguzi 2020 Kuna dalili zote kuwa endapo kutakuwa na Tume Huru ya Uchaguzi, umoja wa Upinzani unaweza kuchukua nchi Oktoba 2020

Hakuna dalili yoyote Magufuli anabeba ndoo asubuhi saana.
 
Nchi haina maendeleo pesa zote za maendeleo wanazitumia kukandamiza demokrasia, pesa inayotumika kuwanunua wabunge madiwani kurudia chaguzi mbalimbali kuwabambikia kesi na hujuma mbalimbali kwa wapinzani ni pesa nyingi sana, ni pesa ambazo zingeweza kujenga viwanda kila kata, vyuo vikuu kila wilaya.

Hosptal za rufaa kubwa zenye madaktari Bingwa kila mkoa, barabara kila kijiji daraja toka Dsm mpaka Zanzibar na pemba na Nchi ikawa na maendeleo makubwa ndipo CCM ingeweza kuvuna kura nyingi pasipo kutumia njia haramu za wakurugenziccm kupora ushindi halali wa wapinzani,
 
Hakuna dalili yoyote Magufuli anabeba ndoo asubuhi saana.
Uchaguzi ukiwa huru na haki atabeba kisosi cha chai, watanzania siyo wajinga wanajua maendeleo ni pesa zao za walipa kodi na ni lazima yawepo kwani siyo Ombi, CCM kujinadi kuleta maendeleo utazani ni Hisani ya CCM na pesa zao binafsi hakuna Mtanzania mwenye Akili timamu atakubali hizo propaganda za CCM.
 
Nimetembea kama mikoa minne, Mwanza, Mara, Kigoma na Iringa. Huko kote nimeongea na wananchi mbalimbali, nilichogundua ni kuwa bado wananchi wanataka kuona mabadiliko ya chama kilichoko madarakani.

Ni kama kilichotokea uchaguzi uliopita hawajakubaliana na chama kilichopo. Suala la kwamba wananchi wameichoka ccm, hilo wala halina mjadala, ila wanakosa uwanja wa kuonyesha hisia zao. Nilichojifunza ni kuwa watu hawana imani tena na tume ya uchaguzi.
Hilo ndiyo tatizo LA chaguzi zetu,tumewapa watu wasioaminiwa na wote kuwa refarii.Tunatakiwa tufunge magoli mengi ya ushindi ili refa akileta zake tutakuwa narejea.Bila kupiga kura za kutosha tutakosa utetezi.
Kura yangu inaenda upinzani kuanzia ya diwani,ubunge na urais,wewe je?
 
Uchaguzi ukiwa huru na haki atabeba kisosi cha chai, watanzania siyo wajinga wanajua maendeleo ni pesa zao za walipa kodi na ni lazima yawepo kwani siyo Ombi, CCM kujinadi kuleta maendeleo utazani ni Hisani ya CCM na pesa zao binafsi hakuna Mtanzania mwenye Akili timamu atakubali hizo propaganda za CCM.
Akili ya watanzania hiyo ni dhana isiyozungumzika kwa namna moja. Ndani ya wanachama wa upinzani kuna wasio na akili na ndani ya ccm pia kuna wasio na akili.

Kudhani watakaoipigia CCM kura hawana akili unajifariji tu maana na wao wanakuona hauna akili.

CCM bado inamtaji wa wapiga kura wengi na Magufuli kafanya makubwa saana. Lingine CCM huwa wanafanya kampeni sio mchezo na wanajua kuiteka hadhira.
 
Nimetembea kama mikoa minne, Mwanza, Mara, Kigoma na Iringa. Huko kote nimeongea na wananchi mbalimbali, nilichogundua ni kuwa bado wananchi wanataka kuona mabadiliko ya chama kilichoko madarakani.

Ni kama kilichotokea uchaguzi uliopita hawajakubaliana na chama kilichopo. Suala la kwamba wananchi wameichoka ccm, hilo wala halina mjadala, ila wanakosa uwanja wa kuonyesha hisia zao. Nilichojifunza ni kuwa watu hawana imani tena na tume ya uchaguzi.
Watanzania wameamka Nchi ina zaidi ya miaka 50 haina maendeleo licha ya kuwa na rasilimali nyingi kuliko mataifa mengi Duniani, pesa nyingi inapotelea kwa mambo yasiyo na Tija kwa Taifa
 
Pesa inayotumika kuihujumu kuidhoofisha chadema tu ingeweza kuilisha Tanzania hata miaka kumi pasipo mtu kulia njaa
 
Hilo ndiyo tatizo LA chaguzi zetu,tumewapa watu wasioaminiwa na wote kuwa refarii.Tunatakiwa tufunge magoli mengi ya ushindi ili refa akileta zake tutakuwa narejea.Bila kupiga kura za kutosha tutakosa utetezi.
Kura yangu inaenda upinzani kuanzia ya diwani,ubunge na urais,wewe je?

Siendi kupiga kura kwa tume hii ya kihuni.
 
yes, kwa kutumia mapolisi sawa.
Hii kukariri ni mbaya,tume ni huru miaka yote hakuna uchaguzi Tanzania umefanyika bila tume huru,na ndio maana vyama vyote vinashiriki uchaguzi.utashiriki vipi uchaguzi kama tume sio huru? Huu wimbo wa tume sio huru ni dalili ya kuogopa uchaguzi (wanajua hawawezi kushinda)
 
Bado hakuna chama Cha siasa chenye uwezo wa kuitikisa CCM(vilivyopo Sasa Ni vijisaccos tu) Wala hakuna mpinzani wa kusimama na mgombea wa CCM (hajazaliwa bado)
 
Back
Top Bottom