Baada ya kuingia madarakani pamoja na sifa zote alizopewa lakini ukweli ni kwamba alianza kuendesha nchi kwa amri. Watu wamekamatwa, nyumba zimebomolewa na sherehe kufutwa. Likaja baraza nalo likaanza vamia vamia na amri zikandelea kama kawaida.
Mpaka wakuu wa wilaya ktk awamu hii wanaamru kuweka watu ndani. Wakuu wa mikoa wanafukuza watumishi walioajiriwa na Halmashauri za wilaya! Kama kuna idara ya serikali imeanza vibaya ni polisi, wanaendeleza ubabe kama kawaida. Wanabambikiza watu kesi kuliko awamu yoyote
Mpaka wakuu wa wilaya ktk awamu hii wanaamru kuweka watu ndani. Wakuu wa mikoa wanafukuza watumishi walioajiriwa na Halmashauri za wilaya! Kama kuna idara ya serikali imeanza vibaya ni polisi, wanaendeleza ubabe kama kawaida. Wanabambikiza watu kesi kuliko awamu yoyote