Mshuza2
JF-Expert Member
- Dec 27, 2010
- 11,007
- 16,413
Sioni dalili za game ya Yanga kuoneshwa..yawezekana ikawa ni ombi lao ili kukwepa aibu ya kuona jinsi watakavyokua wakiadabishwa na pyramids.. Hata hivyo dunia kijiji link zipo na wale wa dstv kama kama kawa kama dawa..
Updates: Azam wameshindwa kwenda mbashara.
Nilichokua nahisi kimetimia..pamoja na matangazo Azam wameshindwa kuonesha.
Updates: Azam wameshindwa kwenda mbashara.
Nilichokua nahisi kimetimia..pamoja na matangazo Azam wameshindwa kuonesha.