Ziroseventytwo
JF-Expert Member
- Mar 27, 2011
- 7,979
- 13,630
Hatua za haraka zichukuliwe na viongozi na mamlaka zinazohusika na afya. Kuna idadi kubwa ya watu wenye mafua makali na vikohozi vikali. Wengine wakidai kusikia maumivu maeneo ya koo.
Hiyo hali mimi nilikutana nayo. Kichwa kuuma, maumivu kwenye koo ukimeza mate au chakula, mafua makali na kupiga chafya sana. Kwa sasa hiyo hali imeisha, nilidumu nayo kwa siku kama 10 hivi.
Nauhakika kabisa hii itakuwa ni korona. Mamlaka tembeleeni Ifakara viwanja Sitini Minarani.
Hiyo hali mimi nilikutana nayo. Kichwa kuuma, maumivu kwenye koo ukimeza mate au chakula, mafua makali na kupiga chafya sana. Kwa sasa hiyo hali imeisha, nilidumu nayo kwa siku kama 10 hivi.
Nauhakika kabisa hii itakuwa ni korona. Mamlaka tembeleeni Ifakara viwanja Sitini Minarani.