Zero Hours
JF-Expert Member
- Apr 1, 2011
- 12,944
- 18,652
Nimeota
Kosa hilo haliko katika makosa yanayotolewa msamaha na rais jombaaNimeota
Haupo Tanzania nini mkuu?Kosa hilo haliko katika makosa yanayotolewa msamaha na rais jombaa
Nitamshusha JPM ngazi kadhaa chini.Nimeota
Na aachiwe kwa lipi hasa kama amepatikana na hatia?? Why her?? ana impact gani ktk jamii??Nitamdharau JPM.Nimeota
kabisa mimi ndivyo ninavyojua pia na kama atatoka basi huyu atakuwa amejidhalilsha Mno kwa kuwa katajulikana kwenye viwanjaKosa hilo haliko katika makosa yanayotolewa msamaha na rais jombaa