GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,546
- 108,876
Baada ya Kuonekana na kupotea tu akaanza Mbunge wa CHADEMA kupatwa na Ajali na hivi punde amepata Ajali Mbunge wa CCM je hakuna uwezekano huyu Bundi akawa anaenda sasa kwa Sura mkunjo mkunjo na vipele vipele na Chama chake na hatimaye akamalizia kwa Mr. Komwe Ubishi na Samaki wake anaoshinda nao 24/7?
Nawasilisha.
Nawasilisha.