jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 24,967
- 22,476
Una utindio wa ubongo wewe.Kamanda ndugu yenu njaa inamtandika huko aliko. Njaa haina ukamanda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una utindio wa ubongo wewe.Kamanda ndugu yenu njaa inamtandika huko aliko. Njaa haina ukamanda
Yanapangwa vipiMauaji hayapangwi hivyo. Hofu yako tu. Hizo ni stories kama za Simba na Yanga kushambuliana nje ya uwanja.
Kitu napinga ni hizi distorted information mnazopewa na kuzifanya za ukweli.
Huungi mkono ni haki yako kama sisi tulivyo na haki ya kuunga mkono...Usijali,umechagua A sisi tumechagua B!Pia siungi mkono TL anachofanya njee ya nchi.
Oh yeah?Kuhusu my english, nawashukuru wazazi wangu na walimu wangu.
Kwa technology ya sasa hii hii clip naweza kuiwekea sauti hata ya Mbowe or Mdee au mtu yeyote yule. Tupe video kama ya yule omba omba wa kimataifa akiwa kwenye wheelchair. Hapo utaaminika sio swala la sauti.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kabla y
Samahani mkuu na wewe sijui unaweza ukawa na clip ya wale wauwaji wasio julikana walio mshambulia Mheshimiwa Tundu Lisu maana cctv camera mnazo mafichoni. Clip ya waliovamia clouds tv tuliiona sijui ilikuwa ya kutengeneza! Mkuu nakumbuka na clip ya yule mwana usalama alie mtolea Mh Nape bastola nayo sijui ilikuwa ya kutengeneza! Nawaza tu mkuu.
Hilo jambo lilitabiriwa siku nyingi mno mkuu, kuna mtu mwenye nguvu kubwa Tanzania ataanguka kabla ya 2025.
Sent using Jamii Forums mobile app
Najaribu kutafuta uhisano na clip ya audio na ulicho andika sioni.
Bado na sisitiza weka video tuone kama alivyo onekana omba omba wa kimataifa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama umeshindwa kupambanua nilicho andika pole mkuu sina jinsi ya kkusaidia. Mnampa mjina ya kashfa mlietaka kumuua lakini taarifa za uchunguzi wa shambulio lake hamzitoi. Poleni sana nadhani mnajilaumu sana kwa kushindwa jaribio lenu la mauaji. Mtapata taabu sana.
Lissu ana mtindio wa njaa tumboniUna utindio wa ubongo wewe.
Sasa imeletwa hapa kwa nini?Sio kila kitu cha kuweka vingine ni vitu sensitive hasa ukizingatia mvutano uliopo juu ya hii issue.
Nikiwa nipita mitandaoni na kuingia katila akaunti ya twitter ya Mdee,nimekuta ame-post clip ambayo ukiisikiliza na kama ni ya kweli,inatuthibutishia ni kina nani walimshambulia kamanda wetu na pia inaonyesha bado wana nia hiyo.
Najiuliza hiyo clip ni kweli imevuja au wameivujisha makusudi kwa lengo la kumtisha tu au wameivujisha kwa malengo ya kutoa siri (kuhujumiana)?
Mhusuka hakutaja mtu kwa jina ila anaongelea anachostahili kufanyiwa wanaemuita msaliti hata baada ya kusalimika huku wakigusia ziara yake huko nje.
Mhusika anaongelea habari ya kamanda kuhojiwa huko aliko na huku akisema wazi kuwa katika vita ya uchumi kama kuna mtu anawakwamisha basi mnatanguliza yeye.
In short,ni clip fupi lakini inayotupa picha ya kina nani walihusika na Mdee amewa-tag wenye mamlaka katika hiyo tweet yake.
Nashauri clip ichunguzwe uhalisia wake na wahusika wahojiwe japo hawajataja jina la mtu vinginevyo msilaumu watu kwa kuwanyooshea kidole.
Nimalizie kwa kusema, iwapo hili jambo wataendelea kuli-handle kwa style hii, basi wajue linaweza kupelekea anguko lao wakati wowote.