Kiume3000
Senior Member
- May 17, 2021
- 180
- 218
Nilisoma nyuzi JF na nikapost juu ya mradi huu. Ni kitu cha kawaida Sana nchi za wenzetu kujenga mifumo ya maji taka kama ilivyo maji safi yanavyosambazwa huu mradi ni bomba sana.
Si lazima maeneo yote. Uswazi kuachwe kama kulivyo lakini maeneo ambayo yana ramani zinazoeleweka au hata squata ambako kuna njia za mtaani hii inawezekana kabisa.
Please please kama hamuwezi itengenegezeeni ✍️ muwape wanaoweza kuifanya.
ova
Si lazima maeneo yote. Uswazi kuachwe kama kulivyo lakini maeneo ambayo yana ramani zinazoeleweka au hata squata ambako kuna njia za mtaani hii inawezekana kabisa.
Please please kama hamuwezi itengenegezeeni ✍️ muwape wanaoweza kuifanya.
ova