Alex Fredrick
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 680
- 1,338
Kuna chama maarufu ambacho siku za nyuma kilijipatia umaarufu kwa Agenda yake kuu ya Ufisadi na kupika Viongozi wenye fikra chanya.
Baada miaka minne iliyopita kuingizwa mjini na gwiji la siasa hatimaye kusahau kauli mbiu yake ya Ufisadi sasa tunaona vituko
Sasa hivi kada yoyote wa CCM akiongea jambo lolote tu wao sasa hivi ni ku shadadia jambo hilo hata kama halina mantiki
Sasa hivi wamekuwa kama fisi kila jambo wanadandia tena ili mradi limezungumwa na kada wa CCM ambao hawa makada huko nyuma wao ndio walikuwa wanawatukana masaa 24 lakini kwao eti leo wamekuwa lulu!maajabu.
Kwa mwendo huu wa Rais magufuli baada ya kumaliza awamu zake mbili nadhan watakuwa na mpauko mkubwa wa kisiasa na sababu kuu ni kuwa Watanzania sasa wamewagundua nia na dhamira yao ovu.
Tukutane 2020 na kila mmoja arudi kwake aeleze aliwatendea nini wapiga kura wake
##JPM KIOO TUELEKEACHO
Alex Fredrick
Dar es salaam
Baada miaka minne iliyopita kuingizwa mjini na gwiji la siasa hatimaye kusahau kauli mbiu yake ya Ufisadi sasa tunaona vituko
Sasa hivi kada yoyote wa CCM akiongea jambo lolote tu wao sasa hivi ni ku shadadia jambo hilo hata kama halina mantiki
Sasa hivi wamekuwa kama fisi kila jambo wanadandia tena ili mradi limezungumwa na kada wa CCM ambao hawa makada huko nyuma wao ndio walikuwa wanawatukana masaa 24 lakini kwao eti leo wamekuwa lulu!maajabu.
Kwa mwendo huu wa Rais magufuli baada ya kumaliza awamu zake mbili nadhan watakuwa na mpauko mkubwa wa kisiasa na sababu kuu ni kuwa Watanzania sasa wamewagundua nia na dhamira yao ovu.
Tukutane 2020 na kila mmoja arudi kwake aeleze aliwatendea nini wapiga kura wake
##JPM KIOO TUELEKEACHO
Alex Fredrick
Dar es salaam