BEST ONE BOY
JF-Expert Member
- Mar 21, 2017
- 309
- 221
Habari wana jf....
Habari za wakati huu naomba kujua kuwa
KWA watu wa uhasibu kuna bodi mahususi kwa ajiri Yao bodi ya NBAA ambayo ina mfumo wao wa kujiendesha ...
PIA kuna bodi au school of law kwa ajiri ya kitivo cha sheria wana utaratibu wao
PIA wahandishi na watu wa masuala ya utawala
Je kwa watu ambao tunapenda kusoma
Masuala ya marketing je hakuna bodi zetu
Mwenye kujua hili tafadhari kwa hapa Tanzania naoma information
Habari za wakati huu naomba kujua kuwa
KWA watu wa uhasibu kuna bodi mahususi kwa ajiri Yao bodi ya NBAA ambayo ina mfumo wao wa kujiendesha ...
PIA kuna bodi au school of law kwa ajiri ya kitivo cha sheria wana utaratibu wao
PIA wahandishi na watu wa masuala ya utawala
Je kwa watu ambao tunapenda kusoma
Masuala ya marketing je hakuna bodi zetu
Mwenye kujua hili tafadhari kwa hapa Tanzania naoma information