KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 18,126
- 32,815
Anaonekana ni mjivuni.....Nimecheka kwa sauti!!
Kwani kakosea wapi mkuu
Anaonekana ni mjivuni.....Nimecheka kwa sauti!!
Kwani kakosea wapi mkuu
Tatizo mnato plus mkuu ChaliifranciscoUtakuta anasoma sekondari huyo halafu unahangaika nae. Siutongoze wazee wenzako boss.
Labda hakuvutiwa na wewe
Sikukatongoza directly, kwahiyo Nina uwezo wa kubadilisha gia angani saile thinkerNaona unajifariji kwa myth mbalimbali at blah blah any way sio liziki jaribu na kale kaa mtaa wa pili tuone
By the way inaonyesha ni kiumbe asiye smart kichwani kama sio utoto mwingi hivyo ikiwa wewe ni mwanaume na sio mvulana tupilia mbali hiyo loss tena usigeuke nyuma, hakufai hata kula kimasihara.Sikukatongoza directly, kwahiyo Nina uwezo wa kubadilisha gia angani saile thinker
🤣🤣🤣🤣Hili ndio gari la mshahara alilopishana nalo? Utamlaumu kweli?
Utakuta anasoma sekondari huyo halafu unahangaika nae. Siutongoze wazee wenzako boss.
Kwa uandishi huu huyo binti ameona mbali Sana kufanya uamuzi alioufanya.....
Uandishi wako unakuonyesha kabisa kuwa ni mwanaume wa aina gani............
Hili ndio gari la mshahara alilopishana nalo? Utamlaumu kweli?