Kifaru86
JF-Expert Member
- Apr 22, 2017
- 1,734
- 3,802
Huyu binti nina mwaka nipo nae katika mahusiano na moja kati ya promise niliyomuahidi nitamuoa mwaka huu mambo yangu yatakapokaa sawa Ila mpka sasa mambo magumu.
Na binti naye kwao wameanza kumsumbua kwani alishawaeleza ana mchumba anataka kumuoa sasa home kwao mpaka sasa hivi wananisikilizia Mimi nitaenda lini kujitambulisha, kutoa Mahari tufunge harusi na mimi kila nijiangalia financially sipo vizuri.
Je, nifanye nini kuepuka hiki kikombe mpaka mambo yangu yatakapokaa sawa maana mpka sasa sina ajira na biashara haziendi kabisa?
Na binti naye kwao wameanza kumsumbua kwani alishawaeleza ana mchumba anataka kumuoa sasa home kwao mpaka sasa hivi wananisikilizia Mimi nitaenda lini kujitambulisha, kutoa Mahari tufunge harusi na mimi kila nijiangalia financially sipo vizuri.
Je, nifanye nini kuepuka hiki kikombe mpaka mambo yangu yatakapokaa sawa maana mpka sasa sina ajira na biashara haziendi kabisa?