Heloo
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 4,391
- 3,402
Leo sitaki hata salamu.
Kuna watu wamenikosea kiasi kwamba wamenilazimisha kuwafuata PM na kuwapa haki yao maana wamejitoa ufahamu.
Kuna uzi uliwekwa na nikikumbuka sheria ya mitandao inadai usihukumu watu bila ushahidi hata magazeti yameshurutishwa hivyo. Sasa kosa langu ni kuuliza "mleta mada mbona hujaweka ushahidi"? Na sio mimi pekee niliyeanza kuulizia ushahidi.
Naulizwa kwanini nilitokwa na povu? Nilitokwa na povu kwa mhusika kuanza kutengeneza connection ya kutaka atoe ushahidi na kuanza kusema nahusikaaa. Aise unanijua?
Sipendi ujinga wenu kwanza mimi nakemea sana uovu, fuatilia post zangu. Kazi yangu ndo inayohusika na kurekebisha jamii.
Nimechukia sana leo.
Kuna watu wamenikosea kiasi kwamba wamenilazimisha kuwafuata PM na kuwapa haki yao maana wamejitoa ufahamu.
Kuna uzi uliwekwa na nikikumbuka sheria ya mitandao inadai usihukumu watu bila ushahidi hata magazeti yameshurutishwa hivyo. Sasa kosa langu ni kuuliza "mleta mada mbona hujaweka ushahidi"? Na sio mimi pekee niliyeanza kuulizia ushahidi.
Naulizwa kwanini nilitokwa na povu? Nilitokwa na povu kwa mhusika kuanza kutengeneza connection ya kutaka atoe ushahidi na kuanza kusema nahusikaaa. Aise unanijua?
Sipendi ujinga wenu kwanza mimi nakemea sana uovu, fuatilia post zangu. Kazi yangu ndo inayohusika na kurekebisha jamii.
Nimechukia sana leo.