Seneta Wa Mtwiz
JF-Expert Member
- Sep 23, 2013
- 3,601
- 4,086
Wakuu,
Kuna baadhi ya nyuzi ukizisoma mwanzo-mwisho humu, unajiona ni mtu mwenye tija ndogo sana hapa ulimwenguni.
Unajiona ni kama mzururaji tu anayetangatanga bila dira wala mwelekeo chini ya jua.
Unajiona ni kiumbe chenye chembe ndogo sana ya tumaini la kufanikiwa chochote.
Uzi huu wa mijengo inayouzwa na bei zake, umenitafakarisha sana- wakati bado nakimbizana na kodi za Elfu 30 huku Uswahilini.
Haya maisha haya ...
Kuna baadhi ya nyuzi ukizisoma mwanzo-mwisho humu, unajiona ni mtu mwenye tija ndogo sana hapa ulimwenguni.
Unajiona ni kama mzururaji tu anayetangatanga bila dira wala mwelekeo chini ya jua.
Unajiona ni kiumbe chenye chembe ndogo sana ya tumaini la kufanikiwa chochote.
Uzi huu wa mijengo inayouzwa na bei zake, umenitafakarisha sana- wakati bado nakimbizana na kodi za Elfu 30 huku Uswahilini.
Haya maisha haya ...
Uzi maalum wa Nyumba/Apartment zinazouzwa na kupangishwa
Habari wanajamvi. Nimeona nianzishe uzi ambao nitapost nyumba au apartment zinazouzwa hapa Tanzania, hasa Dar es salaam. Nyumba zipo nyingi na za bei tofauti zinazouzwa, Nitakua napost nyumba ilipo, bei na picha! Bei ya za nyumba zinatofautiana kulingana na ubora wa nyumba, mahali ilipo, na pia...
www.jamiiforums.com