miamiatz
JF-Expert Member
- Dec 4, 2017
- 504
- 927
Kukekuwa na wimbi kubwa la utafutaji wa kazi huku mtu akiwa desperate. Yaani unakuta ameshajikatia tamaa, ameshajichokea, ameshajiambia acha nitafute yoyote.
Hii ni hatua mbaya kufikia na ukifikia hatua hii basi baadhi ya kazi haifai kuziomba. Mfano mmoja wa kazi hizi ni kazi za kwenye makampuni ya consultancy.
Hizo kampuni za consultancy zinatoa huduma za ushauri kwa wateja wao. Hebu jiulize mtu tayari mood ya maisha ishabadilika na ameshajikatia tamaa unampa kazi ya kwenda kupembua jambo kwa mteja kisha awashauri cha kufanya.
Ukishakuwa desperate hata kushauri huwezi. Kichwa kinakuwa mzigo. Hakuna hatua mbaya kama hatua ya kujikatia tamaa. Bora utafute kitu cha kufanya cha kukukeep busy hata kama hakiingizi pesa.
Courtesy of miamiatz
Hii ni hatua mbaya kufikia na ukifikia hatua hii basi baadhi ya kazi haifai kuziomba. Mfano mmoja wa kazi hizi ni kazi za kwenye makampuni ya consultancy.
Hizo kampuni za consultancy zinatoa huduma za ushauri kwa wateja wao. Hebu jiulize mtu tayari mood ya maisha ishabadilika na ameshajikatia tamaa unampa kazi ya kwenda kupembua jambo kwa mteja kisha awashauri cha kufanya.
Ukishakuwa desperate hata kushauri huwezi. Kichwa kinakuwa mzigo. Hakuna hatua mbaya kama hatua ya kujikatia tamaa. Bora utafute kitu cha kufanya cha kukukeep busy hata kama hakiingizi pesa.
Courtesy of miamiatz