Eric Cartman
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 11,967
- 11,212
Hiyo AfDB biggest investors ndio nchi zilezile zinazotoa pesa kupitia WB na IMF.
Suppose waafrika wote tujitoe kwa pamoja halafu tuanzishe taasisi yetu. There comes a conundrum maana nchi za kiafrica ndio wakopaji wakubwa kupitia banks na wengi wana makusanyo pungufu ya kukidhi budget zao who is to fund that new institution?
Kuachana na WB inabidi kwanza tuwe na uchumi unaoweza walau kukusanya mapato ya kukidhi budget yetu vinginevyo ni day dreaming.
Suppose waafrika wote tujitoe kwa pamoja halafu tuanzishe taasisi yetu. There comes a conundrum maana nchi za kiafrica ndio wakopaji wakubwa kupitia banks na wengi wana makusanyo pungufu ya kukidhi budget zao who is to fund that new institution?
Kuachana na WB inabidi kwanza tuwe na uchumi unaoweza walau kukusanya mapato ya kukidhi budget yetu vinginevyo ni day dreaming.