Omuregi Wasu
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 749
- 142
Ninaomba msaada wenu maana mtoto wangu ameongezeka urefu wa sentimeta 4 na uzito wa kilo mbili ndani ya mwezi mmoja.
Alipoenda kliniki jana baada ya vipimo hata daktari alishituka lakini ni daktari huyo huyo aliyenishauri nimpe mtoto vitu vifuatvyo mwezi uliopita (consultation ya Octoba):
1. Anatumia maziwa ya Dumex (sasa hivi kwa umri wake anatumia serial 3). Hakuwahi kunyonya maziwa ya mama yake tangu amezaliwa.
2. Anatumia yai moja la kuku na mawili ya ndege aina ya Tombo au Quail (kiingereza) kila siku majira ya saa nne.
3. Anatumia vitamin Fe,Zn,Ca kiasi cha 10 g kila siku. Mchanganyiko huu wa vitamini unaitwa (her yao pian) sijui kiingreza wala kiswahili chake.
4. Anatumia matunda hasa madrasini, zabibu n.k
5. Anakunywa juice za aina mbalimbali za viwandani
6. Anapenda sana kula tambi za watoto
Daktari alishtuka lakini baada ya kumbana akasema ni sawa tu ila tumpunguzie vitu vya sukari na baada ya wiki 2 tukapime mchanganyiko wa madini kwenye damu yake.
Je, hili ongezeko lina madhara kwa mtoto wa miaka 2.
Alipoenda kliniki jana baada ya vipimo hata daktari alishituka lakini ni daktari huyo huyo aliyenishauri nimpe mtoto vitu vifuatvyo mwezi uliopita (consultation ya Octoba):
1. Anatumia maziwa ya Dumex (sasa hivi kwa umri wake anatumia serial 3). Hakuwahi kunyonya maziwa ya mama yake tangu amezaliwa.
2. Anatumia yai moja la kuku na mawili ya ndege aina ya Tombo au Quail (kiingereza) kila siku majira ya saa nne.
3. Anatumia vitamin Fe,Zn,Ca kiasi cha 10 g kila siku. Mchanganyiko huu wa vitamini unaitwa (her yao pian) sijui kiingreza wala kiswahili chake.
4. Anatumia matunda hasa madrasini, zabibu n.k
5. Anakunywa juice za aina mbalimbali za viwandani
6. Anapenda sana kula tambi za watoto
Daktari alishtuka lakini baada ya kumbana akasema ni sawa tu ila tumpunguzie vitu vya sukari na baada ya wiki 2 tukapime mchanganyiko wa madini kwenye damu yake.
Je, hili ongezeko lina madhara kwa mtoto wa miaka 2.