mbati nenga
JF-Expert Member
- Feb 18, 2017
- 265
- 341
Kutokana na sakata hili la mlipuko wa ugonjwa huu wa korona na namna nchi zinavyojitoa kupambana nao rais wa tz ataibuka mshindi sio tu Kwasabab amepambana au kutumia akili sana ila ni Kwasabab tuu ameficha takwimu na ujinga wa watanzania ..
Kimsingi ugonjwa huu umegawanyika katika makundi mawili, la kwanza wanaamini uhai wa Mtu mmoja ni muhimu kuliko pesa na la pili pesa ni muhimu kuliko uhai..
Kiukweli janga hili inahitaj roho ya kimungu sana ili uweze kukabiliana nalo na kulipa uzito kwamaana idadi ya wanaopoteza maisha ni ndogo mno kulinganisha na idadi ya watu katika eneo husika hvyo ni ngumu mno kuona madhara yake hvyo kundi lile la pesa ni muhimu kuliko uhai litapata ushindi kupitia hoja hii..
Uhai wa Mtu muhimu kuliko pesa.. Hili ndo kundi linaloteseka kwasasa ambapo ushindi wake unategemea takwimu tuu kwamaana sio rahis kujua ukubwa Au madhara ya kauli za rais bila takwimu.. Hapo ndipo CCM na watu wake wanaangua kicheko tuu..
Kama unataka amani ya moyo wako jitulize kwenye vita hii maghufuli ndo mshindi
Kimsingi ugonjwa huu umegawanyika katika makundi mawili, la kwanza wanaamini uhai wa Mtu mmoja ni muhimu kuliko pesa na la pili pesa ni muhimu kuliko uhai..
Kiukweli janga hili inahitaj roho ya kimungu sana ili uweze kukabiliana nalo na kulipa uzito kwamaana idadi ya wanaopoteza maisha ni ndogo mno kulinganisha na idadi ya watu katika eneo husika hvyo ni ngumu mno kuona madhara yake hvyo kundi lile la pesa ni muhimu kuliko uhai litapata ushindi kupitia hoja hii..
Uhai wa Mtu muhimu kuliko pesa.. Hili ndo kundi linaloteseka kwasasa ambapo ushindi wake unategemea takwimu tuu kwamaana sio rahis kujua ukubwa Au madhara ya kauli za rais bila takwimu.. Hapo ndipo CCM na watu wake wanaangua kicheko tuu..
Kama unataka amani ya moyo wako jitulize kwenye vita hii maghufuli ndo mshindi