Mbishi Uswazi
Senior Member
- Feb 7, 2020
- 142
- 247
Kuna App ya Radio Station ambayo haitumii Internet? Kama Ipo Naomba Jina au Link
Sawa mkuu Nina Tecno K7 App ya Radio yake haifanyi kazi sijui shida nini.Ni impossible, bila internet basi simu inatakiwa iwe na uwezo wa kunasa radio waves, meaning iwe imefungwa radio antena, itabidi uwe na mchina tu, zile low quality. Ukitafuta app ikasema ina feature hiyo jua umeliwa, ni science tu.
Hizo simu ni redio tosha kwa uwezo zilizonazoHivi kwanini hizi flagship hazina redio??..mfano s8,s9,s10,s20 n.k
Huku hatuna hata internet ya uhakika,kwanini wasiweke redio??
umeweka earphone..Sawa mkuu Nina Tecno K7 App ya Radio yake haifanyi kazi sijui shida nini.View attachment 1459931
Kivipi?..usiseme kupata info through instagramHizo simu ni redio tosha kwa uwezo zilizonazo
Hata nyingine ista ipo.Kivipi?..usiseme kupata info though instagram
nateseka sana na kas8 kanguHivi kwanini hizi flagship hazina redio??..mfano s8,s9,s10,s20 n.k
Huku hatuna hata internet ya uhakika,kwanini wasiweke redio??
Ndiyo mkuu Nimewekaumeweka earphone..
Hivi kwanini hizi flagship hazina redio??..mfano s8,s9,s10,s20 n.k
Huku hatuna hata internet ya uhakika, kwanini wasiweke redio??
nateseka sana na kas8 kangu
Mbona magari ya gharama tu yana FM tuner..why kwenye simu iwe tatizo?Hata nyingine ista ipo.
Hiv kweli utoe milion uje usikilize redio sawa na wa alcatel
NdukiiiMbona magari ya gharama tu yana FM tuner..why kwenye simu iwe tatizo?
Kwani kwenye simu ya milioni mbili kuna application zake special??..si hizihizi whatsapp,N.k
Samsung galaxy s10 yenye exynos ambayo iliuzwa marekani ilikuwa na fm tuner..lakini za rest of the world zilikuwa hazina...why?Hizo simu target yao wazungu ni zitanunuliwa na matajiri na wengi wao hawata sikiliza redio
Simu nyingi flagship zitakazoendelea kuja hazitokua na redio
Hii kitu waliianza iphone watu wakaongea sana...
poapoa,,usivunjike tu menoNdukiii
Samsung galaxy s10 yenye exynos ambayo iliuzwa marekani ilikuwa na fm tuner..lakini za rest of the world zilikuwa hazina...why?
Samsung na LG zangu zote za miaka hii ya karibuni, flagship phones, zina FM receiver.Ni impossible, bila internet basi simu inatakiwa iwe na uwezo wa kunasa radio waves, meaning iwe imefungwa radio antena, itabidi uwe na mchina tu, zile low quality. Ukitafuta app ikasema ina feature hiyo jua umeliwa, ni science tu.
Zina FM receiver.Hivi kwanini hizi flagship hazina redio??..mfano s8,s9,s10,s20 n.k
Huku hatuna hata internet ya uhakika,kwanini wasiweke redio??
Kwenye App Info hiko hivi mkuuumeweka earphone..