mwengeso
JF-Expert Member
- Nov 27, 2014
- 9,219
- 6,650
Ni swali najiuliza kwa sauti, je, kuwekwa rumande kwa Mh Mbowe, M/Kiti wa CHADEMA, ni kiashiriyo cha anguko la CHADEMA?
Kwa mfano hakuna dalili za uhai wa Sera zilizonduliwa kwa mbwembwe kuwa zinajadiliwa na wapiga kura wakati Uchaguzi wa Serikali za Mitaa uko mlangoni.
Au ndiyo tuamini chama ni Mbowe?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa mfano hakuna dalili za uhai wa Sera zilizonduliwa kwa mbwembwe kuwa zinajadiliwa na wapiga kura wakati Uchaguzi wa Serikali za Mitaa uko mlangoni.
Au ndiyo tuamini chama ni Mbowe?
Sent using Jamii Forums mobile app