Hilo ni shirika la wamalawi,wanahusika na upokeaji na usafirishwaji wa mizigo kutoka bandari ya dsm to malawi.wana vituo viwili,dar na mbeya.kuhusu mshahara cjui wanalipaje ila kuna mdau alikua pale akafukuzwa anasema wanajitahdi kulipa vzr,wanatoa usafiri,nyumba,overtime na posho zingine.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.