rushanju
JF-Expert Member
- Nov 3, 2011
- 3,130
- 4,619
Wale wafanyakazi ambao sisi tuliaminishwa kuwa watarudi kazini baada ya vyeti vyao kuonekana kuwa havikuwa na tatizo je wamerudi kweli kazini? Je kuna mtu anaefahamu hiyo orodha ya watu hao? Je walisema hayo kabla ya bunge la bajeti kusudi bajeti yao ipite salama? Naomba anaejua lolote atufahamishe jamani
Serikali: Watumishi 4,160 walioondolewa kwa vyeti feki warudishwa
Naibu Waziri – Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe Dkt. Mary Mwanjelwa amesema watumishi wa umma 4,160 kati 15,189 walioondolewa kazini kwa kuwa na vyeti vya kughushi wamerudishwa. Dkt. Mwanjelwa amesema Serikali imechukua hatua hiyo baada ya kubainika kuwa...
www.jamiiforums.com