Kasinja jr
JF-Expert Member
- Aug 4, 2017
- 1,034
- 1,792
Mwaka 2013 kuna uzi uliletwa hapa kuhusu siku ambayo mbowe atamkana dk slaa, watu walibeza na kutukana sana matusi ya nguoni,
Ila tukae tukijua aina ya upinzani tulionao ni wa insta, mange, sijui timu wasafi, badala ya kujadili mambo ya maana,
Nakumbuka, Mzee lowassa aliitwa fisad na wapinzani wote, leo hii ndo anampangia mbowe majukum,
Nape aliyezuia bunge live(alishikiria bango) leo hii ndo role model wao
Lakin baada ya kutoa maon yake KTN wanasema leo hakujitambua,
Nadhani aliyewadunga sindano ya ganzi wapinzani, alizidisha dose,
Ipo siku mbowe atamtenga lissu
Tusubiri
Ila tukae tukijua aina ya upinzani tulionao ni wa insta, mange, sijui timu wasafi, badala ya kujadili mambo ya maana,
Nakumbuka, Mzee lowassa aliitwa fisad na wapinzani wote, leo hii ndo anampangia mbowe majukum,
Nape aliyezuia bunge live(alishikiria bango) leo hii ndo role model wao
Lakin baada ya kutoa maon yake KTN wanasema leo hakujitambua,
Nadhani aliyewadunga sindano ya ganzi wapinzani, alizidisha dose,
Ipo siku mbowe atamtenga lissu
Tusubiri