Msudu JF-Expert Member Aug 19, 2021 942 1,400 Dec 1, 2021 #22 GENTAMYCINE said: Kaandika hivi: Muongoza Ligi yuko Mbeya na Mbeba Ubingwa yuko Dar es Salaam. Kazi Kwenu. Click to expand... Nadhani huyu jamaa mambo mengi hufanya kiutani zaidi, hasa kulingana na aina ya soka letu na ushabiki wetu
GENTAMYCINE said: Kaandika hivi: Muongoza Ligi yuko Mbeya na Mbeba Ubingwa yuko Dar es Salaam. Kazi Kwenu. Click to expand... Nadhani huyu jamaa mambo mengi hufanya kiutani zaidi, hasa kulingana na aina ya soka letu na ushabiki wetu
data JF-Expert Member Apr 9, 2011 26,149 22,726 Dec 2, 2021 #23 Hakuna wachambuzi wa soka TZ...ila huko media kumejaa magenge ya simba na yanga, na ndiko shida inakoanzia.
Hakuna wachambuzi wa soka TZ...ila huko media kumejaa magenge ya simba na yanga, na ndiko shida inakoanzia.
data JF-Expert Member Apr 9, 2011 26,149 22,726 Dec 2, 2021 #24 Ningekuwa na uwezo ningefungia media zote vipindi vya michezo. Kumeja wahuni watupu.. Yani 'Nonsenses.
Ningekuwa na uwezo ningefungia media zote vipindi vya michezo. Kumeja wahuni watupu.. Yani 'Nonsenses.