Kuna aliyemuelewa vyema hapa Mchambuzi Oscar Oscar wa E FM na Tv E?

Hakuna wachambuzi wa soka TZ...ila huko media kumejaa magenge ya simba na yanga, na ndiko shida inakoanzia.
 
Ningekuwa na uwezo ningefungia media zote vipindi vya michezo.

Kumeja wahuni watupu..

Yani 'Nonsenses.
 
Back
Top Bottom